<form id="9przj"></form>

      <form id="9przj"><th id="9przj"><th id="9przj"></th></th></form>

      <form id="9przj"></form>

      <noframes id="9przj"><form id="9przj"></form>

      Umoja wa Mataifa?wasema mapigano nchini Sudan yanavuruga utaratibu wa biashara

      (CRI Online) Oktoba 24, 2023

      Ofisi ya Umoja wa Mataifa Inayoratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema, athari za kuvuka mpaka za mapigano yanayoendelea nchini Sudan zimeathiri sana biashara kati ya nchi hiyo na Sudan Kusini, na pia kuongeza idadi ya raia wa Sudan Kusini wanaorejea nchini humo kutoka Sudan.

      OCHA imesema mapigano hayo kati ya Jeshi la Sudan na Kikosi cha Mwitikio wa Haraka (RSF) yaliyoanza katikati ya Mwezi April mwaka huu, yamepunguza uagizaji wa bidhaa kutoka nje, na hivyo kusababisha kupanda kwa bei za vyakula nchini Sudan Kusini.

      Pia Ofisi hiyo imeripoti kuwa, watu 317,993 wameingia nchini Sudan Kusini kutoka Sudan tangu kuanza kwa mapigano hayo, na kuongeza kuwa, nusu ya watu hao ni wanawake, na nusu ya watoto ni wenye umri wa chini ya miaka 18.

      (Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

      Picha

      亚洲乱亚洲乱妇24p-JK白丝极品被CAO到流水呻吟-国产精品日韩欧美一区二区三区-欧美老熟妇牲交

      <form id="9przj"></form>

          <form id="9przj"><th id="9przj"><th id="9przj"></th></th></form>

          <form id="9przj"></form>

          <noframes id="9przj"><form id="9przj"></form>