<form id="9przj"></form>

      <form id="9przj"><th id="9przj"><th id="9przj"></th></th></form>

      <form id="9przj"></form>

      <noframes id="9przj"><form id="9przj"></form>

      Taasisi za fedha za kimataifa zaongeza makadirio ya ukuaji wa uchumi wa China kwa mwaka 2023

      (CRI Online) Oktoba 20, 2023

      Taasisi za fedha za kimataifa zimeongeza makadirio yao ya ukuaji wa uchumi wa China kwa Mwaka 2023 baada ya uchumi wa nchi hiyo kukua kwa kasi kuliko ilivyotarajiwa katika robo ya tatu ya mwaka huu.

      Shirika la habari la Reuters limeripoti kuwa, Kundi la Benki za Citigroup linakadiria pato la ndani la China kukua kwa asilimia 5.3 kutoka asilimia 5 ya awali.

      Kampuni ya JP Morgan imekadiria uchumi wa China utakua kwa asilimia 5.2 mwaka huu, ikiwa ni makadirio ya zaidi ya asilimia 5, huku kampuni ya Morgan Stanley ikiongeza makadirio ya ukuaji wa uchumi wa China kwa asilimia 5.1 kutoka asilimia 4.8 mpaka 4.9 ya awali.

      Benki ya UBS ya nchini Uswisi imeongeza makadirio ya ukuaji wa uchumi wa China mpaka asilimia 5.2, ikiwa ni alama 0.4 zaidi ya makadirio ya awali.

      (Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

      Picha

      亚洲乱亚洲乱妇24p-JK白丝极品被CAO到流水呻吟-国产精品日韩欧美一区二区三区-欧美老熟妇牲交

      <form id="9przj"></form>

          <form id="9przj"><th id="9przj"><th id="9przj"></th></th></form>

          <form id="9przj"></form>

          <noframes id="9przj"><form id="9przj"></form>