<form id="9przj"></form>

      <form id="9przj"><th id="9przj"><th id="9przj"></th></th></form>

      <form id="9przj"></form>

      <noframes id="9przj"><form id="9przj"></form>
      人民網首頁
      Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian (wa pili kulia) akitoa taarifa ya matokeo ya Mkutano wa Baraza la Tatu la Ushirikiano wa Kimataifa wa Ukanda Mmoja, Njia Moja uliofanyika Beijing, China wiki iliyopita wakati wa mkutano na wanahabari jijini Dar es Salaam, Tanzania, Oktoba 26, 2023. (Xinhua/ Li Yahui)

      China yaahidi kuhimiza ushirikiano wa Ukanda Mmoja, Njia Moja na Tanzania

      DAR ES SALAAM - Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian, amesema China inatarajia kuendelea kuhimiza ushirikiano wa Ukanda Mmoja, Njia Moja na Tanzania, ili kwa pamoja kuendeleza mustakabali mzuri wa baadaye wa maendeleo ya kisasa. Balozi Chen ameyasema hayo kwenye mkutano na wanahabari jijini Dar es Salaam, Tanzania, ambapo aliwasilisha taarifa ya matokeo ya Mkutano wa Baraza la Tatu la Ushirikiano wa Kimataifa wa Ukanda Mmoja, Njia Moja uliofanyika Beijing, China uliofanyika Beijing, China wiki iliyopita.…

      Waandishi wa habari kutoka nchi za Eurasia watembelea Mkoa Guizhou ili kupata uzoefu wa "kupika chai kwa stovu"

      "Kupika chai kwa stovu" ni mojawapo ya njia maarufu zaidi za kunywa chai katika majira ya mpukutiko na ya baridi nchini China. Waandishi wa habari kutoka nchi za eneo la Eurasia pia wamealikwa kujiunga na shughuli hii.…

      Shughuli ya Vyombo vya habari vya Eurasia kuutangaza Mkoa wa Guizhou duniani yazinduliwa katika Mji wa Guiyang, China

      Mradi wa Mabadilishano ya Vijana wa "Ukanda Mmoja, Njia Moja" umefanyika katika Mkoa wa Guizhou, Kusini Magharibi mwa China siku ya Alhamisi, Oktoba 26 ambapo Shughuli ya Vyombo vya Habari vya nchi za Eurasia kuutangaza Mkoa wa Guizhou imezinduliwa. Shughuli hiyo inawaalika waandishi wa habari kutoka nchi 10 zinazoshiriki kwenye kujenga kwa pamoja "Ukanda Mmoja, Njia Moja" kutembelea Guizhou kusimulia simulizi za Guizhou, kueneza sauti ya Guizhou, kuonyesha taswira ya Guizhou, na kufanya vizuri mawasiliano ya kimataifa ya Maendeleo ya Kisasa ya Guizhou yenye mtindo wa China.…

      Kongamano la Mabadilishano ya Mawasiliano ya Kimataifa kuhusu "Kueleza Simulizi ya Guizhou kwa Dunia" lafanyika Guiyang, China

      GUIYANG - Idara ya Uenezi ya Kamati ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) ya Mkoa wa Guizhou na Gazeti la People's Daily Mtandaoni kwa pamoja wamefanya Kongamano la Mabadilishano ya Mawasiliano ya Kimataifa kuhusu "Kueleza Simulizi ya Guizhou kwa Dunia" na wakati huo huo kuzindua Mradi wa Mabadilishano ya Vijana wa "Ukanda Mmoja, Njia Moja" kwenye Shughuli ya Vyombo vya Habari vya nchi za Eurasia kuutangaza Mkoa wa Guizhou. Chen Benrong, Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Uenezi ya Kamati ya CPC ya Mkoa wa Guizhou na Tang Weihong, Mwenyekiti wa Bodi ya Wasimamizi wa Gazeti la People's Daily Mtandaoni, walitoa hotuba kwenye kongamano hilo.…

      亚洲乱亚洲乱妇24p-JK白丝极品被CAO到流水呻吟-国产精品日韩欧美一区二区三区-欧美老熟妇牲交

      <form id="9przj"></form>

          <form id="9przj"><th id="9przj"><th id="9przj"></th></th></form>

          <form id="9przj"></form>

          <noframes id="9przj"><form id="9przj"></form>